munyakwiringa
Member
- Apr 14, 2015
- 65
- 8
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 36 natafuta Mke wa kuoa atakaye kuwa tayari kuishi na mimi katika hali zote. Awe tayari pia kuishi na mume nje ya dar es salaam, awe na umri kuanzia 32 mpaka 25 awe angalau anajua kusoma na kuandika idea ya maisha tutapeana na mambo yatabadilika taratibu kwani mafanikio si kitu huja kwa mbio za mwenge, awe mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu. Awe tayari kuolewa mwaka huu maana siamini katika mahusiano yakuchunguzana kama Takukuru mwenye sifa hizi aniPM nitamwona naawache namba zake kwa PM asanteni.