Natafuta mke mwema

Natafuta mke mwema

Naingia jukwaa hili nikiwasilisha hitaji langu la muhimu, natanguliza shukrani zangu za dhati kwa waanzirishi wa jukwaa hili,wametupafanya tupate pa kusemea.

Naamini mke au mume anaweza kupatikana popote pale ili mradi panakutanisha watu.
Mizaha na matusi si tarajio langu. Kama si muhitaji please pita kwa amani.
Ni kwa aliye serious tu plz.

SIFA ZANGU
Umri: 36
Elimu: degree.
Dini:Mkristo.
Kazi: biashara
Kabila:Msukuma wa shinyanga.
Makazi: dar/shinyanga


SIFA ZA MKE NIMTAFUTAE;
Umri:28-36
Elimu: yoyote.
Dini:mkristo
Kazi:shughuli yoyote inayomuingizia mipato halali
Kabila:lolote
Makazi:awe anaishi dar,mor,nzega, Igunga au shinyanga.
Kwa yoyote aliye serious anakaribishwa, nitumie private message tuwasiliane.
Kuna dada mmoja atakufaa mcheck kwa number hii ni msukuma wa Shinyanga pia 0687375004 yuko vizuri.
 
ULISHA chezea dada wa wenzako.....? unawajua? toka primary 36yrs BIKRA? Degree mfanybiasha? duu... samahn lakn NAPITA TU
 
Namhala utalapandika nkima wakutola umu!,jaga ukabhuje mukaya!
 
Mke mwema hutoka kwa bwana.
Hivyo nakushauri utafute aliyeachika ndio atakuwa mwema
 
kwa siye tunaotokea dodoma hatuhitajiki haaahahaaa
Naingia jukwaa hili nikiwasilisha hitaji langu la muhimu, natanguliza shukrani zangu za dhati kwa waanzirishi wa jukwaa hili,wametupafanya tupate pa kusemea.

Naamini mke au mume anaweza kupatikana popote pale ili mradi panakutanisha watu.
Mizaha na matusi si tarajio langu. Kama si muhitaji please pita kwa amani.
Ni kwa aliye serious tu plz.

SIFA ZANGU
Umri: 36
Elimu: degree.
Dini:Mkristo.
Kazi: biashara
Kabila:Msukuma wa shinyanga.
Makazi: dar/shinyanga


SIFA ZA MKE NIMTAFUTAE;
Umri:28-36
Elimu: yoyote.
Dini:mkristo
Kazi:shughuli yoyote inayomuingizia mipato halali
Kabila:lolote
Makazi:awe anaishi dar,mor,nzega, Igunga au shinyanga.
Kwa yoyote aliye serious anakaribishwa, nitumie private message tuwasiliane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom