Naingia jukwaa hili nikiwasilisha hitaji langu la muhimu, natanguliza shukrani zangu za dhati kwa waanzirishi wa jukwaa hili,wametupafanya tupate pa kusemea.
Naamini mke au mume anaweza kupatikana popote pale ili mradi panakutanisha watu.
Mizaha na matusi si tarajio langu. Kama si muhitaji please pita kwa amani.
Ni kwa aliye serious tu plz.
SIFA ZANGU
Umri: 36
Elimu: degree.
Dini:Mkristo.
Kazi: biashara
Kabila:Msukuma wa shinyanga.
Makazi: dar/shinyanga
SIFA ZA MKE NIMTAFUTAE;
Umri:28-36
Elimu: yoyote.
Dini:mkristo
Kazi:shughuli yoyote inayomuingizia mipato halali
Kabila:lolote
Makazi:awe anaishi dar,mor,nzega, Igunga au shinyanga.
Kwa yoyote aliye serious anakaribishwa, nitumie private message tuwasiliane.
Naamini mke au mume anaweza kupatikana popote pale ili mradi panakutanisha watu.
Mizaha na matusi si tarajio langu. Kama si muhitaji please pita kwa amani.
Ni kwa aliye serious tu plz.
SIFA ZANGU
Umri: 36
Elimu: degree.
Dini:Mkristo.
Kazi: biashara
Kabila:Msukuma wa shinyanga.
Makazi: dar/shinyanga
SIFA ZA MKE NIMTAFUTAE;
Umri:28-36
Elimu: yoyote.
Dini:mkristo
Kazi:shughuli yoyote inayomuingizia mipato halali
Kabila:lolote
Makazi:awe anaishi dar,mor,nzega, Igunga au shinyanga.
Kwa yoyote aliye serious anakaribishwa, nitumie private message tuwasiliane.