FLAVOR
Senior Member
- Jun 13, 2012
- 138
- 49
Kwa niaba ya Rafiki yangu Othman, natoa nukuu ifuatayo kwa kinadada.
Ninatafuta Mchumba muislamu mwenye kati ya umri wa miaka 23 hadi 2, awe na sifa zifuatazo: Muislamu wa kweli, mwenye heshima na anayejipenda na kujiamini.
Awe ana ajira ama biashara.
Awe mweupe.
Kuhusu Mimi nina Umri wa miaka 28.
Nina mtoto mmoja kiume miaka mitatu anayeishi kwa bibi yake.
Sijapanga, naishi Kwangu.
Nafanya kazi kampuni binafsi.
Natumia kilevi kidogo nikiwa nasocialize.
Napenda maakuli mazuri.
Sina kitambi, lakini naona nikikupata kitakuja.
Mwisho tukutane tuongee tukiendana tupime, tupimane.
MWISHO WA NUKUU, MIMI NILIPATA MKE HAPA HAPA JF, NA SASA TUNA MIAKA MINNE NA WATOTO WAWILI SASA, TUKO POA NA NAMSHUKURU MUNGU, SO NIMEMSHAURI AJARIBU HAPA. SABABU WAPO WAKE CLASSIC WENYE HESHIMA ZAO HAPA HAPA.
Nitumie private msg nikutumie namba kama uko serious.
Ninatafuta Mchumba muislamu mwenye kati ya umri wa miaka 23 hadi 2, awe na sifa zifuatazo: Muislamu wa kweli, mwenye heshima na anayejipenda na kujiamini.
Awe ana ajira ama biashara.
Awe mweupe.
Kuhusu Mimi nina Umri wa miaka 28.
Nina mtoto mmoja kiume miaka mitatu anayeishi kwa bibi yake.
Sijapanga, naishi Kwangu.
Nafanya kazi kampuni binafsi.
Natumia kilevi kidogo nikiwa nasocialize.
Napenda maakuli mazuri.
Sina kitambi, lakini naona nikikupata kitakuja.
Mwisho tukutane tuongee tukiendana tupime, tupimane.
MWISHO WA NUKUU, MIMI NILIPATA MKE HAPA HAPA JF, NA SASA TUNA MIAKA MINNE NA WATOTO WAWILI SASA, TUKO POA NA NAMSHUKURU MUNGU, SO NIMEMSHAURI AJARIBU HAPA. SABABU WAPO WAKE CLASSIC WENYE HESHIMA ZAO HAPA HAPA.
Nitumie private msg nikutumie namba kama uko serious.