Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Kama title inavyojieleza
Baada ya kunyanyasika sana na mapenzi toka kwa vibinti vya miaka 15-26 sasa nimeona bora nitafute mtu mzima awe mpenzi wangu
Mwanamke kuanzia umri wa miaka 35 na kuendelea namwitaji zaidi
Umri wangu ni miaka 31, so huyo mmama najua ntaendana nae sawa
Awe anaweza kujishughulisha sio kukaa tu home kusubiri nimletee mazaga zaga
Kama kuna Jirani yako mmama hajaolewa na ana gundu la kutoolewa/kupata mpenzi mwambie gundu lake limepata suluhisho,so mfikishie ujumbe aje PM
Sifa zake awe mwembamba tu mweusi au mweupe(Asijichubue) na hata kama kazaa fresh tu ntampenda seriously
Baada ya kunyanyasika sana na mapenzi toka kwa vibinti vya miaka 15-26 sasa nimeona bora nitafute mtu mzima awe mpenzi wangu
Mwanamke kuanzia umri wa miaka 35 na kuendelea namwitaji zaidi
Umri wangu ni miaka 31, so huyo mmama najua ntaendana nae sawa
Awe anaweza kujishughulisha sio kukaa tu home kusubiri nimletee mazaga zaga
Kama kuna Jirani yako mmama hajaolewa na ana gundu la kutoolewa/kupata mpenzi mwambie gundu lake limepata suluhisho,so mfikishie ujumbe aje PM
Sifa zake awe mwembamba tu mweusi au mweupe(Asijichubue) na hata kama kazaa fresh tu ntampenda seriously