Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,515
- 18,997
Unataka uzeekee hapo kwenu? Wakati umepata fursa ya kuolewa na sugar daddyMim mchumba angu ni ww tu ๐๐๐๐๐
Unataka uzeekee hapo kwenu? Wakati umepata fursa ya kuolewa na sugar daddyMim mchumba angu ni ww tu ๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐Sitak kutolewa kafara mieUnataka uzeekee hapo kwenu? Wakati umepata fursa ya kuolewa na sugar daddy
Usije ukaanza tu baadae kwenda kwa maposa akuombee upate mume.๐๐๐๐๐Sitak kutolewa kafara mie
Malizia kabisa na wa kumuachia mafao yoootee aliyovuna ujanani.Usimkatishe tamaa
Father anatafuta mke wa kumliwaza tena amesema kuanzia 40 kuendelea yaani anatafuta anayeendana nae
Si ajabu father alichwa, alifiwa
Hivyo anatafuta wa kufarijiana nae ..
Mpeni moyo father
Mume nishampata ambae ni ww ntaenda tu kwa mwamposa nitoe sadaka ukombolewe unioe๐๐๐๐Usije ukaanza tu baadae kwenda kwa maposa akuombee upate mume.
Acha uongo wewe...Mke mnene hautainjoi Mbwaa style.. Be warned
Njoo dm nimekumissAcha uongo wewe...
Awe na trako..ile view.
Siji maana hutaki vibongeNjoo dm nimekumiss
Kwani ww kibongeSiji maana hutaki vibonge
NdioKwani ww kibonge
๐ Mi nlishakata shauri la kukuona maana uliniambia hujui kupika.Mume nishampata ambae ni ww ntaenda tu kwa mwamposa nitoe sadaka ukombolewe unioe๐๐๐๐
๐๐๐๐Ntafundishwa kupika na mawifi na mama mkwe๐๐๐๐๐ Mi nlishakata shauri la kukuona maana uliniambia hujui kupika.
Anaogopa heka heka za wanawake. Mara nyingi wanawake wanene hawana mambo mengi , sio wagomvi , sio watata, hata ukiwadanganya wenyewe wanaamini tu hawachoshi akili kuchuja.nahitaji mke aliye mnene na mkweli pamoja na mapenZi ya kweli![]()
Mbona pete havaagi sasa ananchanganya sana na bado naona anatokea nyumbani sana.๐๐๐ jirani sisteri ana mume tyr
Hapana bado hujui kazi nyingi, maana uzungu umekumaliza. Hama kwanza hapo kwenu capripoint ukapange hata mwaka niamini saivi unaweza kuwa matured.๐๐๐๐Ntafundishwa kupika na mawifi na mama mkwe๐๐๐๐