Behind the camera
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 315
- 740
Naelekea kufanikiwa katika juhudi zangu za kuacha uzinzi na kufanikiwa kubaki njia kuu (alhamdu lillaah)
Lakini kwakuwa dini yangu imeniruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja, nikaona si vibaya kuongeza mke ili jitihada zangu ziendelee kuota mizizi.
Sina vigezo vingi kwa nimtakaye , ila mimi kwa ufupi ni..
1. Nina mke na watoto wawili
2. Mrefu, mwembamba , jeusi
3. Sina pesa ila za kubadilishia mboga tu na za kuwatunza familia zangu.
4. Sina gari wala nyumba (nimepanga)
5. Elimu kidato cha nne
6. Nimesoma dini kiasi (islamic)
7. Situmii kilevi (pombe wala sigara)
8. Ninavo vigezo vya kuongeza mke (uwezo wa kumtunza, kumliwaza na kumfurahisha)
9. Nina kazi ya kuingiza kipato
10. Umri wangu ni miaka 31 tu.
Ila kwa uchache, kwa yule nimtakaye (mwanamke)
1. Asiwe mke wa mtu (wala mchumba)
2. Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja
3. Akiwa mweupe itapendeza zaidi (sio lazima)
4. Awe muislamu
5. Umri miaka 21 - 27
Kwa maelezo zaidi, MASWALI, USHAURI, MAONI karibuni PM.
Ni mimi wenu mtiifu Behind the camera
Lakini kwakuwa dini yangu imeniruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja, nikaona si vibaya kuongeza mke ili jitihada zangu ziendelee kuota mizizi.
Sina vigezo vingi kwa nimtakaye , ila mimi kwa ufupi ni..
1. Nina mke na watoto wawili
2. Mrefu, mwembamba , jeusi
3. Sina pesa ila za kubadilishia mboga tu na za kuwatunza familia zangu.
4. Sina gari wala nyumba (nimepanga)
5. Elimu kidato cha nne
6. Nimesoma dini kiasi (islamic)
7. Situmii kilevi (pombe wala sigara)
8. Ninavo vigezo vya kuongeza mke (uwezo wa kumtunza, kumliwaza na kumfurahisha)
9. Nina kazi ya kuingiza kipato
10. Umri wangu ni miaka 31 tu.
Ila kwa uchache, kwa yule nimtakaye (mwanamke)
1. Asiwe mke wa mtu (wala mchumba)
2. Asiwe na mtoto zaidi ya mmoja
3. Akiwa mweupe itapendeza zaidi (sio lazima)
4. Awe muislamu
5. Umri miaka 21 - 27
Kwa maelezo zaidi, MASWALI, USHAURI, MAONI karibuni PM.
Ni mimi wenu mtiifu Behind the camera