Natafuta mke kati ya miaka 30 - 35

Natafuta mke kati ya miaka 30 - 35

Hiyo mikoa ulotaja iwe ni asili yake huko au awe anaishi huko kwa sasa bila kujali ana asili ya wapi?
 
Mbona sifa chache sana? Umri, mkoa, na nia ni wigo finyu sana. Dini ni kigezo cha msingi sana!
 
kila la kheri,Ukimpata Uje Kutueleza Sawa eeh!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom