Natafuta mke africast

Natafuta mke africast

engsir

Member
Joined
Mar 9, 2014
Posts
18
Reaction score
2
Mi ni mvulana wa 26yrs,urefu futi 5.5,ni Muslim, Elimu Bachelor,nimfanya kazi na naishi Dsm,
Natafuta mke half caste mweny elimu ya kidato cha 4 au 6,
Urefu atleast futi 5.4 - 5.6, awe Muslim,miaka isiyozidi 21,
Karibuni wadau na SERIOUS
 
Hivi ni halfcast ama africast.....???? Embu nisaidieni ...
 
Huku Tabora tunao wa muundo huo wengi sana maana kuna waarabu kama utitiri na tabia yao kuu ni kujaza mimba wafanyakazi wao wa ndani na kuwapiga chini so sifa ya kwanza utaipata lakini hapo kwenye elimu ndiyo huenda ikakubidi ufanye upembuzi yakinifu.

Karibu sana kijijini kwetu tutuo a.k.a kijiji cha waarabu njia ya kwenda Sikonge au usoke kama unaelekea urambo huko wapo wengi zaidi ni wewe tu.
 
Africast...! Saint kayumba zimeleta madhara mengi mno...!na bado!
 
Mbona humo msikitin wamo wengi sanaaa hao shombeshombee
 
Elimi zetu tanzania bana. Sasa mkuu africast ndio nini na colour redish ndio nini?
 
Huku Tabora tunao wa muundo huo wengi sana maana kuna waarabu kama utitiri na tabia yao kuu ni kujaza mimba wafanyakazi wao wa ndani na kuwapiga chini so sifa ya kwanza utaipata lakini hapo kwenye elimu ndiyo huenda ikakubidi ufanye upembuzi yakinifu.

Karibu sana kijijini kwetu tutuo a.k.a kijiji cha waarabu njia ya kwenda Sikonge au usoke kama unaelekea urambo huko wapo wengi zaidi ni wewe tu.

Ahsante mkuu
 
Mcshangae sana coz nilisoma shule za Div 5 no zero na la Engineers
 
Huku Tabora tunao wa muundo huo wengi sana maana kuna waarabu kama utitiri na tabia yao kuu ni kujaza mimba wafanyakazi wao wa ndani na kuwapiga chini so sifa ya kwanza utaipata lakini hapo kwenye elimu ndiyo huenda ikakubidi ufanye upembuzi yakinifu.

Karibu sana kijijini kwetu tutuo a.k.a kijiji cha waarabu njia ya kwenda Sikonge au usoke kama unaelekea urambo huko wapo wengi zaidi ni wewe tu.

Mkuu nitakuja huko haraka.Na Treni unafika?
 
Kumbe unatafuta mke?na si mwanamke wa kuoa!ningekuwa na uwezo div 5 nisingeziruhusu humu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom