Natafuta mitsubish canter mpya tani 4-5

Natafuta mitsubish canter mpya tani 4-5

miradibubu

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
312
Reaction score
85
Kwa heshima ninaomba kupewa maelekezo juu ya bei ya gari ya mzigo tajwa hapo juu. Ningeomba kuelezwa pia bei yake ni kiasi gani na wapi ninaweza kupa gari hilo jipya! Nitafurahi kama linaweza patikana Dar es salaam au Mwanza

Pia ningependa kupata ushauri mwingine wa kitaalamu juu ya mambo ya kuzingatia ktk kununua gari husika ikiwa ni pamoja na aina ya injini nzuri na mengineyo ya kiufundi ambayo ninapaswa kuyajua.
Ninatanguliza shukrani sani!
 
mitsubish canter inaanzia tani 1.5, tani 2, tani2.5, tani 3 na tani 3.5, hakuna canter tani 4 au tani 5, fusso ndio zinaanzia tani 4 hadi 6.

used ya japan kwenye show room tani 1.5 bila miln 25 hujapata gari, tani 2 na tani 2.5 bila miln 35-30 hujapata gari, tani 3 na tani 3.5 bila miln 40-35 hujapata gari .

used aliyotumia mbongo bei inaweza pungua kwa miln5-miln10 ni maelewanao yenu.
 
Kwa heshima ninaomba kupewa maelekezo juu ya bei ya gari ya mzigo tajwa hapo juu. Ningeomba kuelezwa pia bei yake ni kiasi gani na wapi ninaweza kupa gari hilo jipya! Nitafurahi kama linaweza patikana Dar es salaam au Mwanza

Pia ningependa kupata ushauri mwingine wa kitaalamu juu ya mambo ya kuzingatia ktk kununua gari husika ikiwa ni pamoja na aina ya injini nzuri na mengineyo ya kiufundi ambayo ninapaswa kuyajua.
Ninatanguliza shukrani sani!

Nenda Diamond Motors Pugu road zipo nyingi tu mpya unachonga body unayotaka mwenyewe.
 
mitsubish canter inaanzia tani 1.5, tani 2, tani2.5, tani 3 na tani 3.5, hakuna canter tani 4 au tani 5, fusso ndio zinaanzia tani 4 hadi 6.

used ya japan kwenye show room tani 1.5 bila miln 25 hujapata gari, tani 2 na tani 2.5 bila miln 35-30 hujapata gari, tani 3 na tani 3.5 bila miln 40-35 hujapata gari .

used aliyotumia mbongo bei inaweza pungua kwa miln5-miln10 ni maelewanao yenu.

Ahsante sana mkuu kwa kunipa darasa tosha!
 
Back
Top Bottom