nenda magogoni (white house) utawakuta mpaka wa NigeriaSabalkheri Mabibi na Mabwana wa Jamiiforums.
Nimekuwa msomaji wa tovuti hii kwa kiasi cha muda na sasa nimeonelea vyema kujiunga nanyi.
Natafuta mganga mzuri wa jadi awezae kazi na sio mwenye maneno matupu, najua humu wapo watu kadha wa kadha waliowahi pata mitihani ya maisha na kwenda kuongea na mizimu na kupata ufumbuzi wa jambo husika.
Mimi ni mjasiriamali na napatikana morogoro na kusafiri naweza.
Kwa yoyote alie na mawasiliano na mganga mzuri tafadhali nitumie mawasiliano yake kwa PM. ukinisaidia na nikapata ufumbuzi nitakupatia zawadi.
Ni hayo tu kwa leo.
Unaamini Mwanadamu ndo anaweza kukusaidia kuliko Mungu wako....!
hiyo salamu tu aliyoanza nayo kwenye post ake nshajua dini yake huwa wanaamini sn hizo mambo watu wa dini hiyo kuliko hata kufanya kazi.Ukikwama kabisa mtafte MZIZI MKAVU manake ye anajua tiba ya kila tatizo
nenda magogoni (white house) utawakuta mpaka wa Nigeria
pole sana! unamtafuta shetani!
Kila mtu ana haki ya kuamini kile ambacho anaona sahihi kwake...who are you to judge him? Nyie ni wasafi kiasi gani hadi mhukumu mapema hivi?
Mungu ametoa vipawa kwa watu wake ili watibie wwnzao kupitia mitishamba n.k ndugu ameona atapata msaada huko then mwacheni akapate salama yake. Kwani inaaminika imani yako tu ndo itakuponya, hivyo imani yako iko kwa sangoma. Mwacheni aende.
Mungu akujalie upone kupitia tiba za asili ndugu.
Kila la kheri!!