Natafuta Mfanyakazi wa PHOTO STUDIO

Natafuta Mfanyakazi wa PHOTO STUDIO

kiss cool

Member
Joined
Aug 17, 2014
Posts
67
Reaction score
19
Sifa za kijana anayehitajika.
1. Awe mkazi wa eneo la Tabata, Kinyerezi, Kisukuru au maeneo ya karibu na Segerea Dar es Salaam
2. Awe mwaminifu na muadilifu wa kweli na sio kuigiza; na anayependa kazi yake
3. Awe na ujuzi wa kupiga picha na matumizi ya computer kwa fani hiyo.
4. Awe na mdhamini wa
kuaminika
5. Awe na uthubutu wa kusimamia kazi anayopewa

ALIYE TAYARI ANITUMIE UJUMBE KWENYE EMAIL YANGU. siwima2000@gmail.com
 
naishi kinyerezi..ila hizo sifa unazoziitaji mi sina bt ukinipa maelekezo jinsi kazi zinavyoendeshwa kwa mda mfup naiman tunaweza fika mbaliii ........
 
Sifa za kijana anayehitajika.
1. Awe mkazi wa eneo la Tabata, Kinyerezi, Kisukuru au maeneo ya karibu na Segerea Dar es Salaam
2. Awe mwaminifu na muadilifu wa kweli na sio kuigiza; na anayependa kazi yake
3. Awe na ujuzi wa kupiga picha na matumizi ya computer kwa fani hiyo.
4. Awe na mdhamini wa
kuaminika
5. Awe na uthubutu wa kusimamia kazi anayopewa

ALIYE TAYARI ANITUMIE UJUMBE KWENYE EMAIL YANGU. siwima2000@gmail.com
wa mikoani sie inakuaje
 
Back
Top Bottom