lucas mbassa
Member
- Sep 1, 2013
- 45
- 2
Natafuta mfanyakazi wa ndani kazi yake kubwa ni kumulea mwanangu ataishi dar mm nipo kilimanjaro.malipo yake maelewano.mazingira ya kuishi yenye yapo mazuri.angalizo asiwe mtu mcharuko.
Weka maelezo poa usaidie ata kuwa analala kwako au wa kwenda na kurudi,utamlipa ela ngap?