BIGK
Member
- Sep 6, 2017
- 21
- 22
Awe binti mwenye sifa zifuatazo;
1. umri 20-26
2. awe na uwezo wa kulea mtoto
3. mcha Mungu
4. mwenye upendo wa dhati
5. awe anatokea Morogoro, Songea, Iringa au Mbeya
6. Awe msafi na anae jipenda
Awe tayari kupimwa afya yake na kutoka na barua ya mjumbe wa sehemu anayo ishi na utambulisho wake awe tayari kwenda kwao anapo ishi
Maradhi na huduma zingine atapata, mshahara 100000/
Nina mtoto mmoja wa mwaka na miezi mitano basi
Nawakaribisha sana pm
1. umri 20-26
2. awe na uwezo wa kulea mtoto
3. mcha Mungu
4. mwenye upendo wa dhati
5. awe anatokea Morogoro, Songea, Iringa au Mbeya
6. Awe msafi na anae jipenda
Awe tayari kupimwa afya yake na kutoka na barua ya mjumbe wa sehemu anayo ishi na utambulisho wake awe tayari kwenda kwao anapo ishi
Maradhi na huduma zingine atapata, mshahara 100000/
Nina mtoto mmoja wa mwaka na miezi mitano basi
Nawakaribisha sana pm