Natafuta mfanyakazi wa kike

Natafuta mfanyakazi wa kike

Issuna

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,204
Reaction score
7,649
Habari zenu watu wote Mlio humu..nadhani tumeamka salama na wengine tayari mpo makazini,maofisini,nk.

Nimekuja kwenu kwa heshima na taadhima natafuta mfanyakazi asiechagua kazi na alie na shida na utayari wa kufanya kazi kwa Hali zote.

Mfanyakazi mwenye malengo ya kazi na ukarimu na lugha nzuri.

Sijajua ni kazi gani nitampa ila Wanasema KAZI KAZI...kazi ni kazi ilimradi tu "isivunje sheria za nchi na isivunje amri 10 alizopewa Musa"

Mfanyakazi ninaemtaka ni DADA..narudia tena natafuta DADA..sio MAMA, kuhusu miaka inajulikana DADA hua ana miaka MINGAPI mpk mingapi.

Kwa kurahisisha kuhusu miaka aanzie miaka 24 mpk 27
Kama ameolewa sawa,kama ana mtoto sawa,ninachohitaji ni Utayari na mtu mwenye umri huo.


VIGEZO VINGINE VYA MUHIMU...


-ajue kutumia kompyuta vizuri
-awe mkazi wa dar
-asitoke mbali kwani eneo la kazi ni MBEZI LUIS au MBEZI MWISHO.
-anaeweza kuwahi kazini saa moja kamili awe kafika.
-Ajielewe,ajitambue.


SIFA KUBWA KULIKO ZOTE


-Awe ni mtu mwenye Malengo ya Biashara
-asiwe gogo la kukaa kuambiwa fanya hiki ndo afanye
-ASIWE MUHUNI WA KUVAA VISURUALI NA VI TAITI NA VINGUO VYA BEACH(Smart one)

Mengine nk. tutaambiana tutakapoonana na kupanga cha kufanya.


Kabla sijasahau

Awe mtu alie tayari kupokea malipo ya LAKI kwa Mwezi

NAULI(1000) utapewa na ofisi hiyo buku ina mana ni kwa mtu atakaepanda gari moja kuja kazini na moja kurudi kazini..kama utapanda magari zaidi ya mawili lets say unakaa mbagala BUKU haiwez kukutosha kuja na kurud so hiyo itakayoongezeka ni yako mwenyewe..ila ofisi kama ofisi itakuchangia BUKU tu.

kuhusu UTUMBO

KULA mchana UTAKULA KAZIN kwa gharama za ofisi haiusiani na mshahara wako.

MSHAHARA NI LAKI MOJA kama utafata hayo hapo JUU


MSHAHARA UNAWEZA KUBADILIKA NA KUA

LAKI MBILI kwa MWEZI kama utafata yafuatayo.


-Kula ujitegemeee
-Nauli ujitegemee(ofisi haitoi hata sent yake)
-chochote kile ujitaftie wewe kama wewe.

MSHAHARA WAKO UTAKUA LAKI MBILI per month

ONYO: Usijaribu kunitafuta kama unajijua una sofa zifuatazo


-Muongo
-Mwizi
-Tapeli
-Kahaba/Malaya


kwani kunitafuta mimi ni Kutafuta kupotelea JELA au GEREZANI for the REST of YOUR LIFE.

Kuna kesi nyingi hazina watuhumiwa so usije kunitafuta ukiwa na lengo la kuja KUIBA coz nitakuzawadia kesi itakayokuweka segerea si chini ya mwaka ili tu UPATE DHAMANA...


MWIZI TAPELI na hao wengine msijichanganye mkanitafuta coz Hunijui NILIYEANDIKA HILI TANGAZO NI NANI.

Namimi simjui ninae mtafuta wala nitakae mpata so usije badae ukaniita KAKA wakat mimi sio kaka ako...USIJE ukaniita DADA wakat mimi sio dada ako..SINA UNDUGU NA MTU HUMU JAMIII wala katika mtandao.

Nimeandika tangazo kwani najua yupo/wapo wataotokea KUBEEP au kutikisa KIBERITI kama kina njiti amah lah.


NARUDIA TENA TENA NA TENA


USIJE UKANITAFUTA KAMA WEWE NI

mwizi.muongo.malaya.kahaba.nk


KWA WALE WASTARABU wenzangu tuliotayari kutafuta maisha kwa kuanza na kidogo na tukaridhika nacho

tutaftane WHATSAPP ONLY

0652-270700





(chonde.chonde ewe Jambazi..chonde.chonde ewe Tapeli)
 
Habari zenu watu wote Mlio humu..nadhani tumeamka salama na wengine tayari mpo makazini,maofisini,nk.

Nimekuja kwenu kwa heshima na taadhima natafuta mfanyakazi asiechagua kazi na alie na shida na utayari wa kufanya kazi kwa Hali zote.

Mfanyakazi mwenye malengo ya kazi na ukarimu na lugha nzuri.

Sijajua ni kazi gani nitampa ila Wanasema KAZI KAZI...kazi ni kazi ilimradi tu "isivunje sheria za nchi na isivunje amri 10 alizopewa Musa"

Mfanyakazi ninaemtaka ni DADA..narudia tena natafuta DADA..sio MAMA, kuhusu miaka inajulikana DADA hua ana miaka MINGAPI mpk mingapi.

Kwa kurahisisha kuhusu miaka aanzie miaka 24 mpk 27
Kama ameolewa sawa,kama ana mtoto sawa,ninachohitaji ni Utayari na mtu mwenye umri huo.


VIGEZO VINGINE VYA MUHIMU...


-ajue kutumia kompyuta vizuri
-awe mkazi wa dar
-asitoke mbali kwani eneo la kazi ni MBEZI LUIS au MBEZI MWISHO.
-anaeweza kuwahi kazini saa moja kamili awe kafika.
-Ajielewe,ajitambue.


SIFA KUBWA KULIKO ZOTE


-Awe ni mtu mwenye Malengo ya Biashara
-asiwe gogo la kukaa kuambiwa fanya hiki ndo afanye
-ASIWE MUHUNI WA KUVAA VISURUALI NA VI TAITI NA VINGUO VYA BEACH(Smart one)

Mengine nk. tutaambiana tutakapoonana na kupanga cha kufanya.


Kabla sijasahau

Awe mtu alie tayari kupokea malipo ya LAKI kwa Mwezi

NAULI(1000) utapewa na ofisi hiyo buku ina mana ni kwa mtu atakaepanda gari moja kuja kazini na moja kurudi kazini..kama utapanda magari zaidi ya mawili lets say unakaa mbagala BUKU haiwez kukutosha kuja na kurud so hiyo itakayoongezeka ni yako mwenyewe..ila ofisi kama ofisi itakuchangia BUKU tu.

kuhusu UTUMBO

KULA mchana UTAKULA KAZIN kwa gharama za ofisi haiusiani na mshahara wako.

MSHAHARA NI LAKI MOJA kama utafata hayo hapo JUU


MSHAHARA UNAWEZA KUBADILIKA NA KUA

LAKI MBILI kwa MWEZI kama utafata yafuatayo.


-Kula ujitegemeee
-Nauli ujitegemee(ofisi haitoi hata sent yake)
-chochote kile ujitaftie wewe kama wewe.

MSHAHARA WAKO UTAKUA LAKI MBILI per month

ONYO: Usijaribu kunitafuta kama unajijua una sofa zifuatazo


-Muongo
-Mwizi
-Tapeli
-Kahaba/Malaya


kwani kunitafuta mimi ni Kutafuta kupotelea JELA au GEREZANI for the REST of YOUR LIFE.

Kuna kesi nyingi hazina watuhumiwa so usije kunitafuta ukiwa na lengo la kuja KUIBA coz nitakuzawadia kesi itakayokuweka segerea si chini ya mwaka ili tu UPATE DHAMANA...


MWIZI TAPELI na hao wengine msijichanganye mkanitafuta coz Hunijui NILIYEANDIKA HILI TANGAZO NI NANI.

Namimi simjui ninae mtafuta wala nitakae mpata so usije badae ukaniita KAKA wakat mimi sio kaka ako...USIJE ukaniita DADA wakat mimi sio dada ako..SINA UNDUGU NA MTU HUMU JAMIII wala katika mtandao.

Nimeandika tangazo kwani najua yupo/wapo wataotokea KUBEEP au kutikisa KIBERITI kama kina njiti amah lah.


NARUDIA TENA TENA NA TENA


USIJE UKANITAFUTA KAMA WEWE NI

mwizi.muongo.malaya.kahaba.nk


KWA WALE WASTARABU wenzangu tuliotayari kutafuta maisha kwa kuanza na kidogo na tukaridhika nacho

tutaftane WHATSAPP ONLY

0652-270700





(chonde.chonde ewe Jambazi..chonde.chonde ewe Tapeli)


Utanisamehe, naomba tu ni comment: Hata kama ningekuwa na vigezo vyote hapo juu, vyote na nina njaa sana nisingeweza kukutafuta, why? kwa watu wanaojua personality checkup, kwa maandishi yako, HAUNA MAHUSIANO MAZURI NA WAFANYA KAZI WAKO NA WEWE NI MTU WA VISASI, PR YAKO YAWEZA kuwa very low..... kumbuka ukimwajiri mtu, unamlipa, ila na yeye pia anakupa huduma, kwa hiyo mnaitajiana sana tena sana!!! kila la heri
 
Utanisamehe, naomba tu ni comment: Hata kama ningekuwa na vigezo vyote hapo juu, vyote na nina njaa sana nisingeweza kukutafuta, why? kwa watu wanaojua personality checkup, kwa maandishi yako, HAUNA MAHUSIANO MAZURI NA WAFANYA KAZI WAKO NA WEWE NI MTU WA VISASI, PR YAKO YAWEZA kuwa very low..... kumbuka ukimwajiri mtu, unamlipa, ila na yeye pia anakupa huduma, kwa hiyo mnaitajiana sana tena sana!!! kila la heri
You sail in my ship.
Ulivyo elezea kwa kutisha watu, ujue mwizi hata kama umejipanga vipi akianua kukuibia anakuibia, jiukize ni mara ngapi watu wamekuwa wakiingia white house sehemu yenye ulinzai wa hali ya juu sana.
Intimidation ain't the solns.
Let's go
 
Kwa Maelezo hayo tu ushirikiano wako na wafanyakazi ulionao ni F maana kama unauwezo wa kumzadia mtu kesi ina maanisha makofi ya kushtukiza na mikwara ya ghafla lazima mfanyakazi apokee papo hapo
 
Kweli dhiki ni kubwa kwetu na ajira ni muhimu, lakini kwa namna ya ulovoandika na hayo matarajio yako, ni bora kula ukoko mwa meno kuliko kuja kwenye adhabu hiyo.
 
Hutopata mfanyakazi umetoa vigezo vya kipuuzi sana
 
hahahah kama namuona kazi ya laki kwa masharti ya kuwa milionea kwa mganga utakuwa sio mzima kichwani nina wasiwasi na hiyo kompyuta yako ni ya kuingiza movie kwenye flash hakuna kitu kingine
 
Back
Top Bottom