Natafuta Mfanyakazi wa duka (KE)

Natafuta Mfanyakazi wa duka (KE)

mwajei

Senior Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
129
Reaction score
38
Habari wana JF. Natafuta mfanyakazi wakike wa kuuza duka la rejareja. Duka lipo Chini ya Mererani.

Awe anajitambua, na ajue anachokitafuta, ajali kazi yake. Kuishi hapohapo dukani.
 
Duka lipo sehem gan mfano mie nipo dar na nahitaji hyo kazi
 
Nimesema lipo Chini ya Mirerani Arusha. Ni porini
 
Ila mie kwakuwa ni mara ngapi nimeteseka kutafut kazi nikipata iyo siwezi kuhonga hata mara moja wahongaji hawana akili kabixa
 
Huyo hana elimu yakutosha ya mahusiano. Wanawake ni wahongaji wazuri sana, alivyosema anataka wanawake nilidhani anasababu yamsingi.

Sio kuhonga tu. hawajali kazi ya mtu niko na mwanaume anayeuza kwa sasa na sijaona faida from January ndo nataka nibadilishe.
 
Mimi ninatafuta kazi ya udereva wa magari makubwa na madogo na pia fani yangu nyingine ni welding naomba jamani.
 
Habari wana JF. Natafuta mfanyakazi wakike wa kuuza duka la rejareja. Duka lipo Chini ya Mererani.

Awe anajitambua, na ajue anachokitafuta, ajali kazi yake. Kuishi hapohapo dukani.[/Q

nina mdogo wangu adela ila kwetu iringa anatafuta sana kazi ya kuuza duka kwa sasa yupo arusha kijenge juu kama unahukakika wa usalama wa mdogo wangu pm nikupe namba yake, ndo mtoto wa kike pekee kwetu hivyo tafadhali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom