Natafuta Mfanyakazi Kwa ajili ya Internet cafe

Natafuta Mfanyakazi Kwa ajili ya Internet cafe

eliangikundi

New Member
Joined
Apr 11, 2010
Posts
3
Reaction score
0
Natafuta mfanyakazi anayeweza kukaa kwenye internet cafe moja iliyopo Tabata Segerea. Awe mkazi wa Tabata segerea na ana ujuzi wa kutumia computer na microsoft office.

tuma maombi yako kwenda kwenye barua pepe, eliangikundi@gmail.com
 
habari kaka
me ninajua na nimeshawahi kufanyakaz hiyo ila nakaa tabata barakuda,je inakuwaje?
 
Back
Top Bottom