Huwa hatudanganyi hivyo ndugu yangu. Hii sasa imeshakuwa kama ni fashion sasa, mtu akiona tu baba mwenye nyumba kaja kudai kodi basi anakimbilia jamiiforums kuja kuomba msaada... hatukatai mtu kuomba msaada...sisi wote humu ndani tumepitia hayo huo umri wa miaka 24 sio umri wa kukaa unatembeza bakuli. HUKO KIJIJINI HUNA SHAMBA?