Natafuta mdhamini wa masomo

Natafuta mdhamini wa masomo

Abel james

Senior Member
Joined
Jun 12, 2014
Posts
103
Reaction score
8
mim naitwa abely,ni mkazi wa iringa,natokea katika familia duni kiuchumi,elimu yangu ni kidato cha sita na nimehitimu mwaka 2013 na kufahuru tuu vizuri ila kutokana na tatizo hilo mwaka jana sikufanikiwa kuendelea na elimu ya juu,ila mwaka huu nilituma maombi kwa ngazi ya diploma ya ualimu na nimefanikiwa kupata chuo,nimechaguliwa mtwara ttc,natafuta mdhamin ambae yupo tayal kunidhamin kwa kipindi chote cha masomo kwa sharti ama kigezo chochote,ili mradi tuu hakiuki haki za binadamu,kwa mdhamin alie tayali tuwasiliane kupitia 0763175935
 
mim naitwa abely,ni mkazi wa iringa,natokea katika familia duni kiuchumi,elimu yangu ni kidato cha sita na nimehitimu mwaka 2013 na kufahuru tuu vizuri ila kutokana na tatizo hilo mwaka jana sikufanikiwa kuendelea na elimu ya juu,ila mwaka huu nilituma maombi kwa ngazi ya diploma ya ualimu na nimefanikiwa kupata chuo,nimechaguliwa mtwara ttc,natafuta mdhamin ambae yupo tayal kunidhamin kwa kipindi chote cha masomo kwa sharti ama kigezo chochote,ili mradi tuu hakiuki haki za binadamu,kwa mdhamin alie tayali tuwasiliane kupitia 0763175935


Ngugu yangu pitia TCU website kuna nafasi special program diploma ya elimu ya nursery chuo kikuu dodoma na utaweza kupata loanboard,
 
Mdau pia jaribu kuangalia kule uhamiaji,kama umekidhi vigezo tupia pia Mungu anaweza kukusaidia.
 
Google Shirika Linaloitwa Kapadia Education Foundation, Linasaidia Kusomesha, Mim Wamenisaidia Mpaka Nimemaliza Degree Ya Uhasibu Mwaka Jana. Usikate Tamaa.
 
Back
Top Bottom