TajiriMutoto
Member
- Jun 20, 2012
- 87
- 38
Mtaani wananiita mzee wa Bata a.k.a Tajiri Mutoto, yani huwa nakulaga bata mpaka kuku anaona wivu ahahah,
wanajamvi, mi ni mtu wa jokes jokes na kula good tym, ila kuna upweke huwa unajitokeza nikiwa nakula bata.
Sasa nimeonelea leo niipost hapa jamvini, tushirikiane kwenye hili. Ngoja nifupishe maelezo, nisikuchoshe na ww usinichoshe.
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26, kielimu nina Master level, niko serikali nakula hela moja ndefu tu kila mwezi. maendeleo nafanya, kuna mjengo wangu nauendeleza kidogo kidogo, msije fikiri nala bata bila maendeleo.
Kwasasa natafuta mdada/mshangazi wa kuwa nakula nae bata, vigezo:
Nawakilisha, niPM wewe mdada tule bata! :msela:
wanajamvi, mi ni mtu wa jokes jokes na kula good tym, ila kuna upweke huwa unajitokeza nikiwa nakula bata.
Sasa nimeonelea leo niipost hapa jamvini, tushirikiane kwenye hili. Ngoja nifupishe maelezo, nisikuchoshe na ww usinichoshe.
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 26, kielimu nina Master level, niko serikali nakula hela moja ndefu tu kila mwezi. maendeleo nafanya, kuna mjengo wangu nauendeleza kidogo kidogo, msije fikiri nala bata bila maendeleo.
Kwasasa natafuta mdada/mshangazi wa kuwa nakula nae bata, vigezo:
- Asiwe kicheche.
- Awe anakunywa pombe, ila sio mlevi.:A S-confused1:
- Asiwe anavuta sigara.
- Awe na sura nzuri oa
- Wenye umri mkubwa watapewa vipaumbele zaidi oa
- Awe na muda wa kula gudtym, asiwe mtu wa kufanya kazi weekend oa
- Wanene watapewa vipaumbele zaidi oa
- Asiwe wa mizinga
Nawakilisha, niPM wewe mdada tule bata! :msela: