Natafuta mchumba!

Natafuta mchumba!

Babu Anganga

Senior Member
Joined
Jun 13, 2009
Posts
169
Reaction score
110
Mimi ni kijana wa kiume mkristo mwenye umri wa miaka 30 ni mtumishi wa serikali. Natafuta mchumba atakayekuwa mke mwema kwangu. Awe kabila lolote Tanzania, dini mkristo dhehebu lolote. Umri miaka 25 hadi 40. Nipo tayari kupima afya. Aliye tayari ani pm.
 
mchumba wa 40?????? are u serious?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom