vigezo ninavyo tatizo umriMimi ni binti wa miaka 26 elimu yangu ni masters nimeajiliwa serikalini sina mtoto. nahitaji mume kuanzia miaka 30-35. Awe mkristo mwenyehofu na mungu, elimu kuanzia degree na kuendelea, mrefu mweusi asiwe na mtoto. Karibuni.
vigezo ninavyo tatizo umri
vigezo ninavyo tatizo umri
Kama yako
Mmmnh! Hapana
Navigezo vyote kasoro kimoja tu.
hyo id yako hujui kuwa kuna mtu anaitwa nameless girl? Au ww ndio Himidini umeamua kubadilisha id ili ziendane na ya mamaa
Mkuu unajichetua au kwan ujui tofaut ya Mr.nameless na nameless girl?
Kujichetua maana yake nn?
Ukishindwa kujibu ntajua ww n ke
Mwambie, assuming mdogo wake aliolewa akiwa na miaka 18 na ukiongeza 12 ya kwenye game hivyo mpaka sasa mdogo wake ana miaka 30 hivyo ukiweka child spacing ya 3 years mleta uzi ana miaka 33.. Vinginevyo mdogo wake aliolewa akiwa na miaka 14 kwa shinikizo la wazazi hivyo ukiongeza 12 years kwenye ndoa unapata mdogo wake ana miaka 26 na hivyo basi wao ni mapacha ila yeye alitangulia kidogoufafanuzi tafadhari...
Nimwambie au ninyamaze? Nimechanganyikiwa
Started by Mitihani, 24th April 2014 10:40
unaweza nisaidia ''mdogo wako'' anamiaka mingapi??
ufafanuzi tafadhari...
[h=3]Nimwambie au ninyamaze? Nimechanganyikiwa[/h] Started by Mitihani, 24th April 2014 10:40
unaweza nisaidia ''mdogo wako'' anamiaka mingapi??
Tufanye mdogo wake ana miaka 25.ufafanuzi tafadhari...
Nimwambie au ninyamaze? Nimechanganyikiwa
Started by Mitihani, 24th April 2014 10:40
unaweza nisaidia ''mdogo wako'' anamiaka mingapi??