Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Babaubaya

Member
Joined
Oct 21, 2014
Posts
42
Reaction score
6
Ni mwanaume mwenye umri wa miaka 37,natafuta girlfriend ambaye atakua mchumba na baadaye mke wa ndoa,awe na umri kati ya 26-35 asiwe kibonge wala mfupi saana,mkristo lakini kabila na rangi wala elimu so tatizo.Alietayari aniandikie hapahapa na kuweka simu yake nami nitampigia
 
Duuh nlikuwa na sifa kasoro tu mi kifutu
 
Ni mwanaume mwenye umri
wa miaka 37,natafuta girlfriend ambaye atakua mchumba na baadaye mke wa
ndoa,awe na umri kati ya 26-35 asiwe kibonge wala mfupi saana,mkristo
lakini kabila na rangi wala elimu so tatizo.Alietayari aniandikie
hapahapa na kuweka simu yake nami nitampigia

mkuu kila la heri ivi vigezo jf wengi wanavyo.
 
Huyo hapo
 

Attachments

  • 1414146931666.jpg
    1414146931666.jpg
    50.4 KB · Views: 212
Badili jina na avatar nakwambia utaniambia huwez kukosa😉
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom