Duuu haya matangazo yanaogopesha sasa kuna watu wana id zaidi ya saba
Matapeli hao na wako na mambo yao
Naitaji saport yako mkuu nielekezeBasis nakushauri tengeneza tangazo lako vizuri lieleweke Inshallah Mungu atakujaalia kama uko serious kweli
Naitaji saport yako mkuu nielekeze
Weka CV yako tukupimeWadau natafuta mchumba vigezo na mashart kuzingatiw
Anza hivi kwa ufupi.
1. Jinsia ya unaemtaka ili ijulikane wewe ni wa jinsia gani.
2. Sifa za unaemtaka,mfano elimu,,kazi,uzuri,kabila,umbile,unaweza kusema mrefu au mfupi au mnene au modo,utakavyotaka,rangi ya ngozi mf maji ya kunde,mweupe au mweusi.
3. Sifa zako mwenyewe.
4. Makazi yako na anwani.
5. Mawasiliano yako unapatkanaje,utoe email,simu nk.
Duuu haya matangazo yanaogopesha sasa kuna watu wana id zaidi ya saba
unafundisha shule gani mkuu? Umemuelekeza vizuri!
Duuu haya matangazo yanaogopesha sasa kuna watu wana id zaidi ya saba
Tunaogopa kubakwa mioyo yetu mmekuwa wahuni wengi
Ppengine huyu ni mkweli ila katiwa najisi na wachafuzi