Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Joined
Jul 14, 2014
Posts
7
Reaction score
1
jaman wana jf mm ni kijana wa miaka 24 n mwanafunz wa chuo flan mbeya nahitaj sana kuwa na mchumba lkn nimekuwa muoga sana kutongoza nahisi kama ntaonekana nadanganya
 
wee mzungu? Njawahi aisee, nataka nitoe nuksi
 
Tafuta kazi watakuja tu wenyewe wanawake wa sikuhizi wanataka pesa mkwanja baadaye tena hao wa umri wako ndo balaa wanapenda starehe utadhani wanaishi Hollywood
 
Huyo beki 3 ni wa team gani? Kama hafai oa goalkeeper.
 
Mi nahitaj mchumba tu jaman.niko single.ni mvulana mwenye miaka ishirin.niko shy.
 
Huyo beki3 ni wa kiume au wa kike?kwan yy hujaona anakufaa?basi tafuta msebule itakaa poa
 
jaman wana jf mm ni kijana wa miaka 24 n mwanafunz wa chuo flan mbeya nahitaj sana kuwa na mchumba lkn nimekuwa muoga sana kutongoza nahisi kama ntaonekana nadanganya[/QUOTE

Hongera kijana mdogo kam wewe unashindwa kumtongoza hata binti anayekuosha nywele ukienda kinyoa saluni maana hao ni pesa yako wala huitaji kuanza ahadi feki za kuoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom