nkungwe123
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 444
- 95
Jamani Mimi katika kuoa kabila na ukoo vinahusika sana. Nisaidieni wana jf; ni kabila gani zuri kutafuta Mke? Sifa zao jeee? (Nzuri na mbaya).
Jamani Mimi katika kuoa kabila na ukoo vinahusika sana. Nisaidieni wana jf; ni kabila gani zuri kutafuta Mke? Sifa zao jeee? (Nzuri na mbaya).
Lazima tujue kabila lako kwanza maana kuna kabila nyingine zinaelewana nyingine hazielewani.
Wewe ni kabila gani?
Oa mtu ana jielewa,aliye na muono wa mbele na zaidi ya yote aliye na hofu ya Mungu.
Sijui ni kabila gani,labda tu nikushauri uangalie katika kabila la Yuda.
zunguka mikoa yote bara na visiwani kwa uchunguzi zaidi nadhani hyo research itakupa majibu mazuri sana kuliko sisi.
Mimi muha wa kigoma
Anaweza kua anajielewa na ana hofu ya Mungu ila ukoo wao wana kifafa. Inakuaje hapo?
Mimi muha wa kigoma
Hmm tafuta mha mwenzio mtaendana
Aisee kazi unayo.
Muombe Mungu akupe udongo umfinyange mke wako mwenyewe.
Yamogabo! Namakii..... oa muha mwenzio mbona wengi hawana matatizo. Sema wanachopenda ni watoto wengi.
Dah.... ningepata uwezo huo hakika nisingeandika kitu hiki hapa jamvini