Natafuta mchumba

Joined
Mar 10, 2024
Posts
5
Reaction score
16
Hello
Mwenzenu upweke utaniua Natafuta mwanamke ambae tutaenda nae kwenye mahusiano na tukiridhiana tuje kuwa mke na mume.
Sifa zangu;
Umri -30yrs
Mjasiliamali
Mkristo

Sifa za mke:
Umri 27yrs na kuendelea
Mkristo
Mwenye hofu ya Mungu
Mwenye upendo wa dhati

Nb. Akiwa Dar itapendeza zaidi

Naimani nitampata humu ndani karibuni sana 0617454917
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…