Mh! andiko lako si serious sana japo kitu unachokiomba ni kitu serious!..
Mi naona umetumia mhemko kuomba kitu cha maisha!, mume ni wakuja kuishi nae ndani na nje lazima muwe wote serious!..
siku yako yakuzaliwa isikufanye tu ndo utafute huyo mume!, ila yote kwa yote nikutakie heri ya kuzaliwa maisha mema na mafanikio yenye baraka bila kusahau watoto wazuri wenye afya ya akili na mwili.