obsesd
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 1,225
- 525
mmmh hii kalii na wamelizwa wengi kweli yaan!huo mtego ni ngumu sana kuruka kipipi, yaani unagonga mzigo, unamtafutia na passport feki, siku ya siku unaenda kumwacha airport... so crude eeh
we mtoa mada hapo sokoine unafanya nini embu funguka vizurii!