Natafuta mchumba

SAWEBOY

JF-Expert Member
Apr 6, 2011
241
173
Wapendwa wana JF,

Poleni kwa majukumu ya kila siku.

Mimi ni kijana wa miaka 32, natafuta mchumba ili tuweze kufunga ndoa endapo tutakubaliana mimi na yeye. Nipo very serious na hili jambo.

SIFA ZANGU:
1. Nina urefu wa 168cm, rangi maji ya kunde, sio mnene wala sio mwembaba.
2. Elimu yangu ni yangu ya chuo kikuu.
3. Sivuti sigara, kilevi natumia mara chache sana labda bia 1 au 2 may be later naweza acha.
4. Mkristo wa Roman catholic
5. Nipo tayari kupima HIV hata zaidi ya mara 5.

SIFA ZA MWANAMKE/MCHUMBA NINAYEMTAKA

1. Awe serious na jambo hili, asiwe anayebahatisha au kutaka kujaribu mahusiano
2. Umri wake uanzie na miaka 18 hadi 30.
3. Awe kabila lolote lile au dini yeyote ile lakini mie sipo tayari kubadili dini
4.Elimu aanzie darasa la saba hadi PhD kwangu halina tatizo
5. Awe mtu anayejiheshimu na kuheshimu watu wengine
6. Awe msafi na ajipende/ usafi wa mwili na mengineyo kwa ujumla.

NB: Kwa mtu atakayekuwa na nia thabiti/ serious naomba ani-PM, au atumie e-mail hii hapa: saweboy1980@yahoo.com

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyie wote mnaosoma sred hii.

Asante.
 
Nakushukuru kwa kunipa imani mpendwa, namuomba mungu aniongoze vema ktk jambo hili.

nakuombea. Hakika mwenyezi mungu anapenda kila kitu kiwe na mwenzie ndio maana katupa macho mawili, masikio mawili, miguu miwili, mawowowo mawili, pua nayo ipo moja ila ina matundu mawili.
Mungu yu mwema sana.
 
Kila la kheri ndugu yangu.
Mungu akutangulie.
Umeandika kwa upendo naiman Mungu atakupatia mke mwema.
 
Yule uliyekuwa naye kipindi cha kuomba ushauri wa madoido chumbani yeye hafai? Mungu atakujalia utampata tu hapahapa jamvini..
 
Yule uliyekuwa naye kipindi cha kuomba ushauri wa madoido chumbani yeye hafai? Mungu atakujalia utampata tu hapahapa jamvini..

Mkuu,
Nakushukuru kwa mchango wako, naomba dua zako zinisaidie kumpata mwenza wa maisha yangu. Kuhusu unayemsemea alikuwa mbali nami na bahati nzuri au mbaya ni kuwa amepewa mimba na mume wa mtu. kwa hiyo kifupi ni kuwa alikuwa ananidanganya na mungu amemuumbua kwa kuionyesha ukweli wa tabia yake. Ni hivyo dada Mayasa.
 
Mkuu,
Nakushukuru kwa mchango wako, naomba dua zako zinisaidie kumpata mwenza wa maisha yangu. Kuhusu unayemsemea alikuwa mbali nami na bahati nzuri au mbaya ni kuwa amepewa mimba na mume wa mtu. kwa hiyo kifupi ni kuwa alikuwa ananidanganya na mungu amemuumbua kwa kuionyesha ukweli wa tabia yake. Ni hivyo dada Mayasa.

Aisee.. pole sana, Mungu atakupatia wa kufanana na wewe!
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom