SAWEBOY
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 241
- 173
Wapendwa wana JF,
Poleni kwa majukumu ya kila siku.
Mimi ni kijana wa miaka 32, natafuta mchumba ili tuweze kufunga ndoa endapo tutakubaliana mimi na yeye. Nipo very serious na hili jambo.
SIFA ZANGU:
1. Nina urefu wa 168cm, rangi maji ya kunde, sio mnene wala sio mwembaba.
2. Elimu yangu ni yangu ya chuo kikuu.
3. Sivuti sigara, kilevi natumia mara chache sana labda bia 1 au 2 may be later naweza acha.
4. Mkristo wa Roman catholic
5. Nipo tayari kupima HIV hata zaidi ya mara 5.
SIFA ZA MWANAMKE/MCHUMBA NINAYEMTAKA
1. Awe serious na jambo hili, asiwe anayebahatisha au kutaka kujaribu mahusiano
2. Umri wake uanzie na miaka 18 hadi 30.
3. Awe kabila lolote lile au dini yeyote ile lakini mie sipo tayari kubadili dini
4.Elimu aanzie darasa la saba hadi PhD kwangu halina tatizo
5. Awe mtu anayejiheshimu na kuheshimu watu wengine
6. Awe msafi na ajipende/ usafi wa mwili na mengineyo kwa ujumla.
NB: Kwa mtu atakayekuwa na nia thabiti/ serious naomba ani-PM, au atumie e-mail hii hapa: saweboy1980@yahoo.com
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyie wote mnaosoma sred hii.
Asante.
Poleni kwa majukumu ya kila siku.
Mimi ni kijana wa miaka 32, natafuta mchumba ili tuweze kufunga ndoa endapo tutakubaliana mimi na yeye. Nipo very serious na hili jambo.
SIFA ZANGU:
1. Nina urefu wa 168cm, rangi maji ya kunde, sio mnene wala sio mwembaba.
2. Elimu yangu ni yangu ya chuo kikuu.
3. Sivuti sigara, kilevi natumia mara chache sana labda bia 1 au 2 may be later naweza acha.
4. Mkristo wa Roman catholic
5. Nipo tayari kupima HIV hata zaidi ya mara 5.
SIFA ZA MWANAMKE/MCHUMBA NINAYEMTAKA
1. Awe serious na jambo hili, asiwe anayebahatisha au kutaka kujaribu mahusiano
2. Umri wake uanzie na miaka 18 hadi 30.
3. Awe kabila lolote lile au dini yeyote ile lakini mie sipo tayari kubadili dini
4.Elimu aanzie darasa la saba hadi PhD kwangu halina tatizo
5. Awe mtu anayejiheshimu na kuheshimu watu wengine
6. Awe msafi na ajipende/ usafi wa mwili na mengineyo kwa ujumla.
NB: Kwa mtu atakayekuwa na nia thabiti/ serious naomba ani-PM, au atumie e-mail hii hapa: saweboy1980@yahoo.com
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyie wote mnaosoma sred hii.
Asante.