mdesi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 1,349
- 2,087
Mimi ni mwanaume mwenye umri ya miaka 35. Naishi Dar es Salam, ni muajiriwa wa moja ya taasisi ya kiserikali. Natafuta mchumba alie komaa kiakili, hapa namaanisha mwenye muono chanya wa maisha ya familia na hulka za kimaendeleo. Umri min Miaka 18 na max 32.
Akiwa amepata elimu walau kuanzia sekondari au chuo ni vizuri zaidi km hakubahatika kupata elimu, Basi awe na uwezo wa kusimamia miradi tutakayoibuni kuianzisha.
Aliyopo tayari Basi tuonane inbox. Thanks all.
Akiwa amepata elimu walau kuanzia sekondari au chuo ni vizuri zaidi km hakubahatika kupata elimu, Basi awe na uwezo wa kusimamia miradi tutakayoibuni kuianzisha.
Aliyopo tayari Basi tuonane inbox. Thanks all.