Natafuta mchumba wa kuoa

Natafuta mchumba wa kuoa

A namaanisha awe na uelewa kama computer jmn .yaanii uelewa wa hali ya juu. Someni kwa umakini hata kiswahili kinawashinda duuh
Kumbe hata kuandika kiswahili haujui....[emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Ck ming nmeingia hum jf, now am back am i missed u [emoji45]
Mkuu.... Si bora ungeandika kiswahili tu...[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Ona sasa aibu imekupata..[emoji12] [emoji12]
 
Kwahiyo akiwa na uelewa WA computer ndo utamfungulia stationery aŭ ama Vepee
 
1758db16a954e3bff242654f5fa76f81.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom