Natafuta mchumba wa kuoa

Natafuta mchumba wa kuoa

A namaanisha awe na uelewa kama computer jmn .yaanii uelewa wa hali ya juu. Someni kwa umakini hata kiswahili kinawashinda duuh
Kumbe hata kuandika kiswahili haujui....
 
Kwahiyo akiwa na uelewa WA computer ndo utamfungulia stationery aŭ ama Vepee
 
1758db16a954e3bff242654f5fa76f81.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom