Preciouss
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 339
- 276
Kwani mitandaoni sio watu Ebu acheni fikra za zamani.Kwani wewe umeitwa huku?? Na hujajiuliza swali Dogo why watu wa JF waweke love connectMtoto mdoooogo, mbichiiii kwa enzi izo asingeweza kuthubutu ata kuandika haya! Huyu wa sasa ameshagongwa gongwa kwa umri wake huo adi amekata tamaa ya kukutana na mume wake alopangiwa na Mungu kaja kutafuta mitandaoni
Kweli ushamba Ni mzigo wa kichwa