Habari wadau wa JF mimi ni kijana wa kiume wa miaka 30,natafuta mchumba ambaye atakuwa mama watoto wangu,kiwango changu cha elimu ni Degree.
Mchumba/Mwanamke ninae muhitaji awe na sifa zifuatavyo;
1.Mnene wa wastani
2.Awe Muislam
3.Kiwango cha elimu awe na Degree
4.Umri kuanzia miaka 24 hadi 26
5.Awe anajitambua katika kupambana na maisha
6.Mwenye kuthamini pendo
Awe anaishi Dar es salaam ama kama yuko mikoani awe tayari kuhamia Dar
Kwa yoyote ambaye yuko serious anaweza kuni PM
Mchumba/Mwanamke ninae muhitaji awe na sifa zifuatavyo;
1.Mnene wa wastani
2.Awe Muislam
3.Kiwango cha elimu awe na Degree
4.Umri kuanzia miaka 24 hadi 26
5.Awe anajitambua katika kupambana na maisha
6.Mwenye kuthamini pendo
Awe anaishi Dar es salaam ama kama yuko mikoani awe tayari kuhamia Dar
Kwa yoyote ambaye yuko serious anaweza kuni PM