Natafuta mchumba wa kike

Natafuta mchumba wa kike

Kwa nini sehemu likitajwa neno uislamu basi makafiri lazima waje kukashifu dini yetu natumai ndugu maamar angesema anatafuta mchumba wa kikristo au mchumba tu usingesikia kashfa zote hizi zilizotolewa na hawa makafiri wachache tuweni na UVUMILIVU WA KIDINI kuuchukia na kuupiga vita uislamu si suluhisho kwani uislamu ndio unazidi kushamiri duniani

sheikh hawa makafiri wapo hum tena wengi tu yaani inawaauuuma saana mtu akitafuta mchumba Muislam,so tuwe makin sana na watu kama hao
 
Mwanadada muislam mwenye umri wa miaka 10, ajiripua huko nigeria na kuua maelefu ya watu waliokuwa karibu na soko alipojiribulia muislam huyo.

source;bbcnews

shy land, bush land, ......., hivi unapoishi hakuna waislam? na huwa unawachukuliaje?
 
Habari zenu waungwana poleni na mishughuliko,mimi ni kijana mwanaume natafuta mchumba.

Sifa za mke nitakazo:
-Awe na umri kuanzia 18-22.

-Elimu kuanzia IV kwenda mbele.

-Mweupe au maji ya kunde.

-Awe anajitambua na kujiheshimu.

-Asiwe mwembamba sana wala mnene sana.

-Awe ameajiriwa au kujiajiri.

Sifa zangu.
-Mrefu wastani.

-Maji ya kunde.

-Muajiriwa serikalini.

-Elimu IV.

Kama unaona hyo nyuzi inakuhusu unaweza uka nifuata kupitia hayo mawasilianoemail-kbrama78@gmail.com Au ni PM.

NB:kama hapakuhusu please usumbufu sipendi.

Asanteni.
 
Natafuta mchumba wa kike ambaye atakuwa mke wangu,mimi ni muajiriwa serikalini.

VIGEZO:
1.umri 17-22

2.awe muajiriwa serikalini,au amejiajiri

3.Awe muislam.

4.Awe maji ya kunde.

5.Awe anamcha Mungu.

6.Elimu kuanzia FORM IV na kuendelea.


Kwa mwanamke yeyote ambaye anaona anavigezo basi anitafute kwa mawasiliano hapo chini

kbrama78@gmail.com au ani PM.
 
Back
Top Bottom