MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 623
Mimi nina miaka 27, mweusi wastani, naishi Dar es Salaam na Lushoto.
Ni mhandisi mhitimu ila sifanyi kazi za kihandisi kwa sasa ,nafundisha shule moja ya seminary.
Kipato changu ni cha kawaida,
Kwa sasa nahitaji mwanamke wa umri usizidi miaka 25 na awe mweupe kidogo,
Sichagui dini wala kabila ila awe na hofu ya Mungu.
Elimu sichagui na awe mkweli
Ni mhandisi mhitimu ila sifanyi kazi za kihandisi kwa sasa ,nafundisha shule moja ya seminary.
Kipato changu ni cha kawaida,
Kwa sasa nahitaji mwanamke wa umri usizidi miaka 25 na awe mweupe kidogo,
Sichagui dini wala kabila ila awe na hofu ya Mungu.
Elimu sichagui na awe mkweli