CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Yes mkuu.Huyo wa kwanza ulimpata humu humu?
Kweli mkuu!aliekutafutia wa kwanza akutafutie wapili
Mkulima Dar?
Unasaidiana na ujenzi kulima lami?
Sema wazi, unatafuta mtu wa kukusaidia kulea familia yako.
nijitegemeee? Kisha niwe second wife?
Nafaidi nini hapo? .
Bado sijaona vutio la ndoa yako, wapo wengi wanaotaka kulelewa kwa jasho langu na nikapata uhuru wa kuwa mkee pekee kwanini nije kwako nianze kupangiwa zamu.ndoa mtoto!!!!!
Nimeku pm!Bado sijaona vutio la ndoa yako, wapo wengi wanaotaka kulelewa kwa jasho langu na nikapata uhuru wa kuwa mkee pekee kwanini nije kwako nianze kupangiwa zamu.
Nimeku pm!
Hey.
Nina mke na watoto3,sasa naitaji kuongeza mke wa pili.dini yangu ni islamic,awe muislam pia aliyesoma dini japo kidogo.
Elimu ya dunia ni japo kiwango cha kujua kusoma na kuandika.
Umri usizidi miaka 24,awe mrembo mpaka moyoni.
Awe swala5.
Awe anajitegemea,awe tayari kua mke mwema,
Mm kazi yangu ni mkulima,nipo dar,aliyetayari anitumie email(omuchana@yahoo.com)nipo serious sana.
Nataraji kumpata aliye mwema.
Tuzungumze!pengine twaweza fika muhafaka.Ili iweje?
Mhh!mbona hauna sifa za kike?????mahbuba....funga thread.....
usimsikilize yoyote....mie ndo ushanpata.....
la aziz.....picha yangu ndio hiyo hapo......nimekutumia full blood picture....ili uamue hapa hapa...ka wanchukua....wallah nshakuchunuku....
Hey.
Nina mke na watoto3,sasa naitaji kuongeza mke wa pili.dini yangu ni islamic,awe muislam pia aliyesoma dini japo kidogo.
Elimu ya dunia ni japo kiwango cha kujua kusoma na kuandika.
Umri usizidi miaka 24,awe mrembo mpaka moyoni.
Awe swala5.
Awe anajitegemea,awe tayari kua mke mwema,
Mm kazi yangu ni mkulima,nipo dar,aliyetayari anitumie email(omuchana@yahoo.com)nipo serious sana.
Nataraji kumpata aliye mwema.
Mhh!mbona hauna sifa za kike?????
Jamani ehee,mie natafuta mke,siyo dume jenzangu ebo?
nijitegemeee? kisha niwe second wife?
nafaidi nini hapo? .