ww ni handsome na mlokole? kwa taarifa yako hutapata mchumba humu JF mke mwema anapatikana magotini ndugu. Ungekuja na hoja kuwa wakuu naomba mni join kumwomba Mungu nipate mke na sio mchumba tungekuelewa. Hata hivyo utapata wenye majibu yanayofanana na matakwa ya uzi wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.