MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
Habar wana jf,mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka 27, ni mkristo,na ninasoma chuo kikuu cha UDSM,mwaka wq mwisho,hivo ninatafuta msichana mwenye umri kuanzia miaka 20-26, awe mkristo,mtii,na mwaminifu,naahidi nitampenda,nitamtunza na kumjali kwa moyo wangu wote,haijalishi kiwango cha elimu,kazi wala kabila,ila asiwe mwembamba sana wala mnene sana awe ni wa kati kwani mimi ni wa kati,na ni handsome boy. Kama upo tayari tuwasiliame kwa email : smasilu@yahoo.com