Mai-Ndombe
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 542
- 835
Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 28, nafanya kazi Sirari mkoa wa Mara. Natafuta mchumba wa kuoa hata kesho,awe na umri wa miaka 18-25 ila sijatahiriwa.
Aliyetayari ani pm tupeane contacts kwa mawasiliano zaidi.
Ahsante.
Aliyetayari ani pm tupeane contacts kwa mawasiliano zaidi.
Ahsante.