Natafuta mchumba Sweden!

Natafuta mchumba Sweden!

anayehitaji kuolewa na ajitokeze,swala la wapi alipo hilo sio tatizo kwani maisha ni popote pale,haya kina dada,mwenye macho haambiwi tazama
 
Ww usikate tamaa hapa nyumban tz naona watu wengi hawapend wenzao.watu wanachuki na kila mtu. Forum ni specifically kwa wachumba lakin watu wanaifanya special kama kuzodoana vile. Wengi waliomo humu hawana kz. Wanapoteza muda NA pesa za.o kujibu vitu visinvowahusu.mwanaume anatafuta mke. Mwanaume anajibu. Kwn ww ni demu mpaka ujibu na kupinga. Mm naona mod warekebishe hawa madogo. Hapa si upinzan wa ccm na chedema. Ni sehemu ya kutafuta marafiki.
 
usikate tamaa kuna mijitu wivu umewajaa.. tena wivu wenyewe umekaa kichawi chawi tu.
 
Hapa jamii forum naona pamevamiwa. Kama si vitoto vidogo ambanvo vilikuwa face book basi ni watu wazima wasio na upeo. Mtu kasema mm nipo sweeden. Eti oh tumejua huko sweeden. Oh unajifanya huko sweeden.what is sweeden? Watu wanakwenda kila siku. Ulaya watu wanakwenda kila asub.Na. mtandao unafika huko
.sasa ww kwasababu huna uwezo wa kufika ulaya basi sisi wa ulaya tusitafute wachumba. Mm mods naona huu ni uhuni au kukosa weledi. Furthermore hii ni part ambayo specifically ni ya kutafuta wachumba na marafiki. Kama thread umeona haikuhusu achana nayo. Ukiwa kila thread unapinga tunapoteza umuhimu na objective za forum. Pia hata ww unapoteza resources zako na muda. Kwn hamna kazi zenu? Mods naomba sms yangu uifuatilie na utusaidie kwn waging wamezid.

Yani huu utoto wa JF unakera sana.Sijui walitaka asemeje.
Naunga mkono hoja mods wasaidie kupunguza utoto..
cc tedo
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli, mimi nashangaa kwa kweli, nimeandika Sweden watu wanadai ni njia za kizamani, na hata hivyo sijasema natafuta mtu aliyeko Tanzania, la hasha, natafuta aliyeko huku iwe rahisi kwangu kuonana na kujuana na sioni kosa la kutaja Sweden watu waje wanikalie kooni kisa kutaja nchi ya kigeni tu, haijakaa vizuri na huo ni Uswahili wa kupitiliza, kama Sweden watu hawashobokei sasa mbona wanashoboka hata kuambiwa na wanajishuku?

Mungu akupe hitaji la moyo wako Loneman
 
Last edited by a moderator:
Yani huu utoto wa JF unakera sana.Sijui walitaka asemeje.
Naunga mkono hoja mods wasaidie kupunguza utoto..
cc tedo

Watu wengine ukomo wa mawazo yao uko hivyo, vitu vidogo wanaviona vikubwa utadhani ni nini sijui, kwani Europe ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Hiyo inaitwa nitoke vipi...Dizaini anataka tujue kuwa yupo Sweden..

Mkuu nakuonea huruma haya mawazo ni ya mtu anaedhanj kuwa kuwa nje ya Tz ni kuwa 'juu' flani. Ungekuwa umeishi hata nje ya Tanzania tu usingeweza andika hivi, loh pamoja na internet na tv bado mna mawzo ya kihivi?
 
unazeeka vibaya aisee, weka picha kama upo kweli sweden

Ayayayayayaayaya aisee, yani mada ya kutafuta mchuchu imekuwa vingine kbs. Hivi nani siku izi anahangaika na mtu kuwa ulaya? Wewe unaedhani 'is a big deal' mpk uombe picha ndio mna matatizo nyie. Inferiority tu, mie sijawahi enda ulaya lkn siwez kuwa na mawazo ka yako.
 
Mawazo ya watu wa kishamba sana haya, kuwa Sweden kitu gani kwani?
Mkuu hata mimi nilishangaa sana kuona mleta mada anashambuliwa kuhusu mahali alipo, badala ya wachumba kujitokeza. Watu bado wanafikiri ki-stone age sana.
 
wadada wa huku wengi ni majanga tu.. tafuta m-Swedish kama vipi, au na hao ndo wale wale?
 
jamani tanzania bado miaka mingi sana watu waelewe mambo marahisi,hivi mtu kuwa sweden ndo nini??watu wamekaa kiswahili swahili tu acheni wivu wwa KI UKE WENZA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom