Natafuta mchumba Sweden!

Natafuta mchumba Sweden!

Loneman

Member
Joined
Apr 12, 2014
Posts
7
Reaction score
2
Habari,

Niko Sweden ; na ningependa kupata msichana mstaarabu, mwenye kujitambua na mwenye empathy na maisha, awe hapa Sweden ama karibu tu na Sweden as long as tukiridhiana nitashukuru na pia awe serious na tayari kuonana ama kuzungumza.

Dini si tatizo kwangu, awe mkristo, awe muislam kwangu haina shida!

Salaam,
 
Hiyo inaitwa nitoke vipi...Dizaini anataka tujue kuwa yupo Sweden..

Haahahahaha!!!!!!! inahusu babu kantangazeeeeeeeeeeeeee........ haishobokewi sweden wala urusi hapa.
 
Uwe tu na lugha nzuri, kama unaona post haikuhusu achana nayo tu, endelea kwenye post nyengine kwa roho safi bila hiyana, huna haja ya ku-comment kila posts.....

ingia hapa mkuu www.friendfinders.com

Good lucky.
 
Uwe tu na lugha nzuri, kama unaona post haikuhusu achana nayo tu, endelea kwenye post nyengine kwa roho safi bila hiyana, huna haja ya ku-comment kila posts.....

Haya baba all the best.
 
habari,unazeeka vibaya ebu weka picha yako inayo onesha upo hapo sweden

niko sweden ; na ningependa kupata msichana mstaarabu, mwenye kujitambua na mwenye empathy na maisha, awe hapa sweden ama karibu tu na sweden as long as tukiridhiana nitashukuru na pia awe serious na tayari kuonana ama kuzungumza.

Dini si tatizo kwangu, awe mkristo, awe muislam kwangu haina shida!

Salaam,
unazeeka vibaya aisee, weka picha kama upo kweli sweden
 
Hapa jamii forum naona pamevamiwa. Kama si vitoto vidogo ambanvo vilikuwa face book basi ni watu wazima wasio na upeo. Mtu kasema mm nipo sweeden. Eti oh tumejua huko sweeden. Oh unajifanya huko sweeden.what is sweeden? Watu wanakwenda kila siku. Ulaya watu wanakwenda kila asub.Na. mtandao unafika huko
.sasa ww kwasababu huna uwezo wa kufika ulaya basi sisi wa ulaya tusitafute wachumba. Mm mods naona huu ni uhuni au kukosa weledi. Furthermore hii ni part ambayo specifically ni ya kutafuta wachumba na marafiki. Kama thread umeona haikuhusu achana nayo. Ukiwa kila thread unapinga tunapoteza umuhimu na objective za forum. Pia hata ww unapoteza resources zako na muda. Kwn hamna kazi zenu? Mods naomba sms yangu uifuatilie na utusaidie kwn waging wamezid.
 
Hapa jamii forum naona pamevamiwa. Kama si vitoto vidogo ambanvo vilikuwa face book basi ni watu wazima wasio na upeo. Mtu kasema mm nipo sweeden. Eti oh tumejua huko sweeden. Oh unajifanya huko sweeden.what is sweeden? Watu wanakwenda kila siku. Ulaya watu wanakwenda kila asub.Na. mtandao unafika huko
.sasa ww kwasababu huna uwezo wa kufika ulaya basi sisi wa ulaya tusitafute wachumba. Mm mods naona huu ni uhuni au kukosa weledi. Furthermore hii ni part ambayo specifically ni ya kutafuta wachumba na marafiki. Kama thread umeona haikuhusu achana nayo. Ukiwa kila thread unapinga tunapoteza umuhimu na objective za forum. Pia hata ww unapoteza resources zako na muda. Kwn hamna kazi zenu? Mods naomba sms yangu uifuatilie na utusaidie kwn waging wamezid.

Ni kweli, mimi nashangaa kwa kweli, nimeandika Sweden watu wanadai ni njia za kizamani, na hata hivyo sijasema natafuta mtu aliyeko Tanzania, la hasha, natafuta aliyeko huku iwe rahisi kwangu kuonana na kujuana na sioni kosa la kutaja Sweden watu waje wanikalie kooni kisa kutaja nchi ya kigeni tu, haijakaa vizuri na huo ni Uswahili wa kupitiliza, kama Sweden watu hawashobokei sasa mbona wanashoboka hata kuambiwa na wanajishuku?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom