Mimi ni kijana mwenzenu naitwa junaid, ni kijana mwenye asili ya kiarabu na ninaishi Uk. natafuta mchumba mwenye sifa hizi, hizi sifa ni muhimu sana maana mwanamke wa ndoto yangu nataka awe hivi :
1 ) mrefu
2)Rangi yoyote
3)kabila lolote
4)Dini awe mwislamu au kama ni mkiristo basi awe tayari kuslimu
5)Umbo - Hapa kwenye umbo ni muhimu sana, maana nataka awe juu mwembamba na mwenye maziwa madogo kisha chini awe na mahipsi hasaaa pia na awe na ma_ta_ko, yaani umbo number 8. Wallah nikimpata huyu nitafurahi sana, naamini wapo wengi sana
6)Awe mpole mvumilivu na mwenye heshima zake na aliyetulia.
Nina mpango wa kuja haraka pale atakapojitokeza kuja kuonana na kupanga maisha, kuhusu pa kuishi atachagua yeye kama ulaya ama africa.
Baada ya mawasiliano ya mwanzo kitachofuata ni picha yake na kama nitaridhika nae basi nitampatia number zangu za simu na picha na pia kuchat nae kwenye skype.
Natumai atakuja siku moja.
1 ) mrefu
2)Rangi yoyote
3)kabila lolote
4)Dini awe mwislamu au kama ni mkiristo basi awe tayari kuslimu
5)Umbo - Hapa kwenye umbo ni muhimu sana, maana nataka awe juu mwembamba na mwenye maziwa madogo kisha chini awe na mahipsi hasaaa pia na awe na ma_ta_ko, yaani umbo number 8. Wallah nikimpata huyu nitafurahi sana, naamini wapo wengi sana
6)Awe mpole mvumilivu na mwenye heshima zake na aliyetulia.
Nina mpango wa kuja haraka pale atakapojitokeza kuja kuonana na kupanga maisha, kuhusu pa kuishi atachagua yeye kama ulaya ama africa.
Baada ya mawasiliano ya mwanzo kitachofuata ni picha yake na kama nitaridhika nae basi nitampatia number zangu za simu na picha na pia kuchat nae kwenye skype.
Natumai atakuja siku moja.