slimdaddy
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 533
- 478
type yako huyo mtot mzuri usiacheNini tena mkuu
type yako huyo mtot mzuri usiacheNini tena mkuu
Najua kigezo cha saut ya kubembelza na kuumizwa hivyo Huna
KWA hisan ya watu wa vodacom
HahahaKuna mtu nimempa nafas ajaribu kucheza na moyo wangu ila naona kashashindwa
Vigezo vimenipita mkuu... sijawahi kuumizwa sasa yeye anataka aliyeumizwa. Jitose basi mwanaumetype yako huyo mtot mzuri usiache
Inaelekea wewe ni bingwa wa kuumiza!Hicho cha kuumizwa kimenishushia marks aseeh
AkaaaInaelekea wewe ni bingwa wa kuumiza!
Yani moyo wangu umeripuka sana vigezo hvyo ninavyo serious pm meNi binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali
sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza
kama haujawahi umizwa haumfai kabisa mana utakuwa hufhm uchung wa mapenzhapo kaa pemben tuVigezo vimenipita mkuu... sijawahi kuumizwa sasa yeye anataka aliyeumizwa. Jitose basi mwanaume
Nicheki 0677287265Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali
sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza