Natafuta mchumba mwenye penzi la kweli

Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali

sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza
Yani moyo wangu umeripuka sana vigezo hvyo ninavyo serious pm me
 
Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati
sifa zangu
sina mtoto
sijawai olewa
nimewai kuwa na mahusiano
elimu kidato cha nne
sio mnene wala sio mwembamba
rangi ya kati
mjasiriamali

sifa za ninae mtaka
awe ameumizwa
maji ya kunde
umri 28 kuendeea
awe kacheza kachoka hana tamaa
awe anajituma na apende ujasiliamali
awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo ccp mosh au jkt
NB naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza
Nicheki 0677287265
 
Njoo PM kwanza, tupange mambo.
Unataka kubembelezwa, je unabembelezeka?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom