Natafuta mchumba/mpenzi

Ni Mpole

Member
Joined
Apr 4, 2016
Posts
7
Reaction score
5
Habari Wana JF,

Mimi nina miaka 34 na watoto wawili, niliachana na mme wangu huu ni mwaka wa nne sasa, ila hadi sasa sijapata mtu mwingine hasa wa kuaminika wote ninao wapata naona wadanganyifu, roho inaniuma kuwa sina hata wakunijali na mbaya zaidi upweke umezidi! vigezo na masharti ni awe mkweli, mwenye upendo, mwelevu,mstaarabu na anaejiheshimu na asiwe tapeli wa mapenzi basi.

Nashukuru
 
Unamaanisha kweli au unatamani tu upate mtu wa hivyo?
 
njoooo pm
 
OYAAAAH!

WASH'KAJI EEEEEEEH!

NJOONI HUKU FASTA TUSAIDIANE MJINI HAPA!!!
 
Reactions: Lee
Vip kuhusu matunzo ya familia yako na mi mwenyewe? Mfano yaani!!!
 
Kwa nn uliachana na mmeo na hao unaowaita wadanganyifu!
Inawezekana tatizo ni wewe mwenyewe
Kaa tafakari
Maana haiwezekani wote wawe wabaya tu
 
Reactions: Lee
 
Daa!! kweli utawala wa magu. hali ni mbaya Jamani jitokezeni mumsaidie huyu dada kulea watoto' pole sana dada utampata tu.
 
Se
Kwa nn uliachana na mmeo na hao unaowaita wadanganyifu!
Inawezekana tatizo ni wewe mwenyewe
Kaa tafakari
Maana haiwezekani wote wawe wabaya tu

Seriously watu kama nyie ghafla you become so judgemental, niliachana nae kwa sababu alikuwa sio mwaminifu, na hao wengine ninao ongelea sio wakweli kwani wengi wanakuwa waume za watu ila huficha....so I need some one ambaye pia is ready to love mtu mmoja na sio kijiji!
 
Reactions: Lee
Pole sana dada, waaminifu hawapo ziku hizi, sema nakuombea upate atakeyekuheshimu (Anayekucheat bila wewe kujua)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…