Natafuta mchumba mme

Natafuta mchumba mme

addie r u serious?? naomba usitafute mchumba mitandaoni utajuta nakwambia. Bora umuombe Mungu na utumike mbele zake

Usimtishe mwenzio, mchumba unaweza kukutana nae popote na mkaenda sawa tu. Muhimu ni malengo yenu na maamuzi yenu.

Bint usivunjike moyo, watu wengi wamekutana kwenye kwaya kanisani au kwenye vyuo vya madrassa na bado ndoa zao ni ngumu na zimeshindwa.
 
Usimtishe mwenzio, mchumba unaweza kukutana nae popote na mkaenda sawa tu. Muhimu ni malengo yenu na maamuzi yenu.

Bint usivunjike moyo, watu wengi wamekutana kwenye kwaya kanisani au kwenye vyuo vya madrassa na bado ndoa zao ni ngumu na zimeshindwa.

Sina nia ya kumtisha ila na nia ya kumtaarifu for her own safety
 
addie r u serious?? naomba usitafute mchumba mitandaoni utajuta nakwambia. Bora umuombe Mungu na utumike mbele zake

Acheni mawazo ya kipumbav nyie, humu kuna watu kama sehemu nyingine yoyote, Mungu anaona kila pahali hata humu anaweza kumuunganisha na mtu mwema tu. Dada ana akili zake timamu, usifikiri atakukubalia tu bila kukujua wewew ni nani kwako wapi unafanya kazi wapi marafiki zako ni kina nani wanashughuli zipi!! Acheni mawazo ya kijima.
 
All the best dada, mme mwema unaeza kumpata popote, kwani hata huyo utakaempata ndio itakuwa mungu kakupangia na atakuwa mwema pia.
 
Mimi sitaki kuoa nataka tupeane utamu tu.kama ukotayari ni pm.
 
Aisee. Miaka 29? Umebakiza miaka 6 tu kuingia katika stage ya menopouse, ambapo shida zitaanza. Nyege zitaisha, maumivu ya ajabu ajabu yataanza, mihasira hasira nk. Atakayekuoa inabidi ajiandae kisaikologia kuoa make was pili maana wewe kwa umri wako kushney...

Anyway, all the best
 
sister nipo serious. Nimeajiriwa nipo karatu.nina miaka 31 mimi ni mkiristo.
ninaomba tuwasiliane ili tutafute uhamisho tuishi wote piga 0765481551
 
Usimtishe mwenzio, mchumba unaweza kukutana nae popote na mkaenda sawa tu. Muhimu ni malengo yenu na maamuzi yenu.

Bint usivunjike moyo, watu wengi wamekutana kwenye kwaya kanisani au kwenye vyuo vya madrassa na bado ndoa zao ni ngumu na zimeshindwa.

Quote of the day!
 
Usimtishe mwenzio, mchumba unaweza kukutana nae popote na mkaenda sawa tu. Muhimu ni malengo yenu na maamuzi yenu.

Bint usivunjike moyo, watu wengi wamekutana kwenye kwaya kanisani au kwenye vyuo vya madrassa na bado ndoa zao ni ngumu na zimeshindwa.

Mkuu we acha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom