Natafuta mchumba mme

Natafuta mchumba mme

Adie

Member
Joined
Jul 27, 2013
Posts
74
Reaction score
47
Umri wangu ni miaka 29, mkristo,elimu chuo, nimeajiriwa na niko morogoro. Nimtakae umri 30-34,awe mkristo, mwajiriwa au mjasiriamali. Mengine tutafahamiana zaidi.

Kwa PM kwa anae hitaji.
 
Taja kabila lako watu wana hofu ya kununua mboga ya 10m
 
Weka picha kwanza , maelezo hayajitoshelezi , kabila lako bainisha.
 
Umri wangu ni miaka 29, mkristo,elimu chuo, nimeajiriwa na niko morogoro.

Nimtakae umri 30-34,awe mkristo, mwajiriwa au mjasiriamali.
Mengine tutafahamiana zaidi kwa PM kwa anae hitaji.

Hellow
 
addie r u serious?? naomba usitafute mchumba mitandaoni utajuta nakwambia. Bora umuombe Mungu na utumike mbele zake
 
Kweli Adie...acha kutafuta wachumba wa humu mitandaoni...wataishia kukuharibu tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom