Habari zenu wote, nina miaka 33 nina watoto wawili wakike, nina elimu ya diploma nategemea kujiunga na degree, nitafuta mchumba ambeye baadaye atakuwa mume, kama nitapata aliyeokoka nitashukuru, asante nawatakia siku njema
Habari zenu wote, nina miaka 33 nina watoto wawili wakike, nina elimu ya diploma nategemea kujiunga na degree, nitafuta mchumba ambeye baadaye atakuwa mume, kama nitapata aliyeokoka nitashukuru, asante nawatakia siku njema
Habari zenu wote, nina miaka 33 nina watoto wawili wakike, nina elimu ya diploma nategemea kujiunga na degree, nitafuta mchumba ambeye baadaye atakuwa mume, kama nitapata aliyeokoka nitashukuru, asante nawatakia siku njema
Watoto wawili, bado ndo unaanza degree, cpati picha huyo mchumba atakavyo kuwa na majukumu?kulea watoto na kusomesha