King Mutesa
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 227
- 140
Mambo,
Natafuta mchumba baadae awe mke rasmi, elimu yangu ni shahada ya kwanza ya Siasa na Utawala (Ba.PSPA-UDSM)
Kazi yangu Kwa sasa najihusisha na KILIMO.
Kwa maelezo zaidi PM
Natafuta mchumba baadae awe mke rasmi, elimu yangu ni shahada ya kwanza ya Siasa na Utawala (Ba.PSPA-UDSM)
Kazi yangu Kwa sasa najihusisha na KILIMO.
Kwa maelezo zaidi PM