Hiyo staili ya kuanza kama vile mmekaririshwa, umesahau kusema jina lako Mkuu
angalia ID
Mimi Nina miaka 32 naishi Dsm ni mwajiliwa selikalini natafuta binti kuanzia miaka 25-30. Awe mwajiliwa pia elimu yake kuanzia stashahada na kuendelea pia awe mkristo. Napenda sana mwanamke mweye mawazo ya maendeleo. **** upo anifuate inbox. Seriously.